11/25/2005

Blogu ya Mpya: Che Mponda na Materu

Kuna blogu mpya ya ndugu Materu iitwayo Fikra Thabiti. Ili umsome bonyeza hapa. Pia aliyekuwa mwandishi wa gazeti la Daily News kwa muda mrefu, Chemi Che Mponda, kaanzisha blogu ya Kiswahili. Kutokana na shughuli utaona hajaweka mapya kwa muda ila anasema ataivalia njuga karibuni. Che Mponda, zaidi ya kuwa mwandishi wa habari, ni muigizaji wa filamu na michezo ya kuigiza. Ameshiriki kwenye filamu ya Tusamahe na Maangamizi. Bonyeza hapa usome blogu ya Chemi. Bonyeza hapa utembelee tovuti yake yenye habari zaidi kuhusu fiamu na michezo ya kuigiza aliyoshiriki.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com