11/24/2005

Al Jazeera Wamwambia Joji Kichaka: Usitupige Mabomu

Gazeti la Uingereza la Daily Mirror limetoboa kisa hiki: eti Joji Kichaka alitaka kupiga mabomu kituo cha luninga anachokichukia kupita kiasi cha Al Jazeera. Bonyeza hapa usome kisanga chenyewe. Sasa wafanyakazi wa Al Jazeera wameanzisha blogu kumtaka Kichaka asiwapige mabomu. Hata hivyo wamemwambia kuwa hawatishiki. Bonyeza hapa utembelee blogu yao.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com