10/20/2005

Pop!Tech: Peter Diamandis na Ndege za Kwenda Anga za Mbali

Peter Diamandis anaongea dakika hii ninayoandika hapa. Huyu bwana kampuni yake inajihusisha na utengenezaji wa ndege za kibiashara za kibinafsi za kurusha watalii kwenda sayari za mbali. Mwaka 2001 Dennis Tito alikuwa ndio mtalii wa kwanza wa sayari za mbali. Safari za aina zinaelezewa kirefu katika kamusi elezo ya kiingereza. Bonyeza hapa.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com