10/16/2005

Suala la HakiElimu na sirikali yetu

Kama kosa kubwa la HakiElimu ni tabia yao ya kukosoa na kutosema jambo lolote zuri kuhusu mfumo wa ujinga (watwawala wanauita mfumo wa elimu) nchini Tanzania, basi kwa mantiki hiyo hiyo viongozi wa sirikali ambao husifu sirikali bila kukosoa hata siku moja nao wanafanya makosa. Kama HakiElimu walipaswa kusema mazuri na mabaya, mbona akina Mkapa na majang... (malizia hili neno mwenyewe. Mimi sijasema) wenzake huwa hawasemi mazuri na mabaya?

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com