9/08/2005

MKAPA AND HALONEN WAKIONGEA HELSINKI


Marais Benjamin Mkapa wa Tanzania na Tarja Halonen wa Ufini wakiongea asubuhi hii. Marais hawa wamesisitiza kuwa muundo wa kisiasa na kiuchumi duniani unahitaji kubadilishwa. Mkutano wa Helsinki ni hatua muhimu katika kutafuta namna ya kujenga duniani ambayo inajali utu na haki za msingi za binadamu. Umuhimu wake unatokana na ushirikishwaji wa washikadau wa sekta mbalimbali.
** Picha kwa hisani ya mpiga picha maarufu wa Tanzaia, Muhidini Issa Michuzi

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com