11/06/2004

UKATAJI VICHWA WATAPAKAA DUNIANI

Kuna kitu kinaitwa Opereseheni Baghdad ambacho kinasambaa duniani kwa kasi: Ukataji vichwa watu wasio na hatia kama njia ya mapambano ya kisiasa.
Sijui ni lini dunia itaiga Operesheni Tanzania: uchomaji moto wa binadamu akiwa hai kwa wizi wa shilingi 3000 au kwa kusingiziwa kuwa kibaka
. Yahoo !wana hii habari ya ukataji kichwa. Nimeisoma dakika chache zilizopita. Ipate hapa.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com