11/05/2004

UCHAGUZI WA MARIKANI: DUNIA YAOMBWA MSAMAHA!

Asilimia 49 ya Wamarekani ambao hawakumpigia kura Rais Joji Kichaka (yaani Wamarekani wanaomchukia!) wanaomba dunia msamaha kwa kushindwa kumg'oa madarakani Rais mpenda vita na mafuta. Je tuwasamehe? Kongoli hapa uone waomba msamaha.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com