10/31/2004

KITABU CHA MAUAJI YA MWEMBECHAI

Nimerudia kukisoma tena kitabu cha Mwembechai Killings and the Political Future of Tanzania kilichoandikwa na Hamza Mustapha Njozi na kupigwa marufuku na kiranja mkuu mtawala wa Tanzania Benjamin Mkapa. Sielewi hata kidogo sababu ya siri-kali ya Tanzania kukipiga marufuku. Hebu nawe kipitie kwa kubonyeza hapa.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com