11/04/2004

NCHI IMETEKWA!

Marekani imetekwa na mahafidhina.
Babiloni inawaka moto. Tumbo la jitu halikaliki.
Waliberali wanafunika nyuso, wanaona haya.
Miaka minne ya Joji Kichaka!
Sitaweza.
Nakumbuka wimbo wa Remmi: Narudi nyumbani nikale ugali...

Miaka minne ya Kerry nayo nisingeipenda, ila huyu mhafidhina wahedi, mpenda vita, ubabe, "kibri" na laghai ananitisha sana. Ndio, ananitisha kuliko akina Osama Bin Laden 100!
Lakini kama nilivyosema jana, niacheni kwanza nipumue na kutafakari.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com