11/04/2004

MTU MWEUSI PEKEE KWENYE SENETI YA MAREKANI

Familia ya Obama, seneta pekee mweusi aliyechaguliwa mwaka huu, nchini Kenya imefurahishwa sana na ushindi wake. Bibi yake, Sarah Hussein Obama, na nduguze wengine, hawakulala usiku wakisubiri matokeo ya uchaguzi wa Marekani wakiwa makwao huko Nyanza, nchini Kenya. Soma habari zaidi toka BBC kwa kukongoli hapa.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com