11/06/2004

UCHAGUZI WA MARIKANI UNGEKUWA WA DUNIA NZIMA...

Kuna baadhi ya watu wanasema, kwa kejeli, kuwa Rais wa Marikani angechaguliwa kwa kura za dunia nzima maana maamuzi yake yanaathiri dunia nzima. Kwa mujibu wa GlobalVote matokeo ya kura za watu wasio Wamarikani yanaonyesha kuwa Waafrika hawampendi kabisa Joji Kichaka. Bonyeza hapa uone matokeo ya wapiga kura ambao sio Wamarekani. Ingawa inaonyesha kuwa Waafrika wengi wanampenda John Kerry, haina maana kuwa wanaelewa Kerry anasimamia masuala gani. Muhimu ni kuwa Kerry sio Joji Kichaka.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com