11/11/2004

UCHAGUZI MARIKANI: HABARI NJEMA!

Kwa wanaomchukia Rais mkaidi mwenye kibri mwiba kura Joji Kichaka, ingawa amechaguliwa tena, kuna sababu ya kufurahia: KWA MUJIBU WA SHERIA, JOJI HATARUHUSIWA KUGOMBEA URAIS WA MAREKANI MAISHA YAKE YOTE! Kwahiyo baada ya miaka minne ndio imetoka!

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com