11/11/2004

MAKALA KUHUSU KUCHAGULIWA KWA JOJI KICHAKA

Wengi wameniuliza juu ya kuchaguliwa kwa kichwa ngumu, mzee wa kibri, Joji Kichaka. Kwa walioko Tanzania, soma gazeti la Mwananchi la jumapili wiki hii katika safu yangu iitwayo: GUMZO LA WIKI. Nimeandika makala iitwayo: NINI KILITOKEA? JE JOJI KICHAKA ALIPIGIWA KURA NA MIZIMU? Kwakuwa makala hii bado haijachapwa gazetini, sitaweza kuiweka hapa ndani kwa sasa. Nitaiweka baada ya kutoka katika safu yangu. Wiki ijayo nitaendeleza makala hiyo kwa uchambuzi wa hoja za wakristo wenye msimamo mkali, waliompigia Joji kura kwa wingi, kuwa Joji anatetea maadili ya kikrsto kwahiyo ni mwakilishi wa Yesu hapa Marekani! Subiri. Kumbuka subira yavuta... Pia makala ya Urasta iliyotoka katika safu yangu ambayo wasomaji wengi wameomba niiweke hapa ndani itapandishwa. Ninatafuta disiketi niliyohifadhi makala hiyo iliyokuwa katika sehemu tatu. Najua iko mahala. Nikiipata tu nitaipandisha.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com