9/09/2004

TUMA KWA YEYOTE

Kila ninapoandika lolote, mwishoni utaona kuna picha ya bahasha. Ukinbonyeza juu ya bahasha utaweza kumtumia yeyote jambo unalosoma. Kwahiyo ukisoma jambo lolote ukataka kuwashirikisha wengine, bonyeza juu ya bahasha ndogo mwishoni upande wa kulia, mtumie unayetaka.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com