8/29/2004

TUNAKOKWENDA

Madaktari huko Ujerumani wameweza "kuotesha" taya mgongoni mwa Mjerumani mmoja aliyekuwa amepoteza taya lake kutokana na ugonjwa wa kansa. Mgonjwa huyo ameweza kula chakula kwa mara ya kwanza baada ya miaka 9. Soma undani wa habari hiyo kwa kubonyeza hapa.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com