6/26/2004

Unajua Wi-FI kwa kiswahili?

Wi-fi ni mtando wa mhahalishi (internet) ambao hautumii waya wala mnara. Kama una tarakilishi (kompyuta) ya mkononi unaweza kuingia kwenye webu ukiwa popote pale. Kwa kimombo wanaita wireless, lakini kwa kiswahili inaitwa mtandao usiwaya.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com