6/19/2004

Clinto alilala sebuleni!

Aliyekuwa Rais wa Marekani, Bill Clinto, alilala sebuleni kwenye makochi kwa zaidi ya miezi miwili baada ya kukubali mbele ya mke na mtoto wake kuwa alikuwa na uhusiano wa siri wa kimapenzi na Monica Lewinsky. Kama ingekuwa ni kiongozi wa Tanzania, nadhani mke ndiye angelala sebuleni. Au angerudishwa kwao, pamoja na kuwa mwenye makosa ni mume! Clinto ametoa siri hii ndani ya kitabu chake kipya kiitwacho My Life. Habari zaidi soma hapa.

1 Maoni Yako:

At 6/25/2004 03:56:00 PM, Anonymous Anonymous said...

Du! Hii kali. Mzee mzima kala sebuleni?

 

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com