6/16/2004

umoja wa Afrika?

Hivi huu "umoja wa Afrika" ni umoja wa viongozi wa Afrika au ni umoja wa wananchi wa Afrika? Hakuna mwananchi hata mmoja ninayekutana naye toka Afrika ambaye anazungumzia umoja huu. Hakuna anayeonekana kujali. Kila mmoja anaona kuwa umoja wa Afrika ni kama chama cha viongozi, mawaziri, na wasomi. Ni nafasi nyingine ya watu hawa kuwa na vikao visivyoisha na matamko yasiyo na vitendo.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com