6/15/2004

bado tunaishi kwenye miti?

Watoto leo asubuhi wameniuliza kama Afrika bado tunaishi kwenye miti! Hawa ni watoto ambao wangekuwa kidato cha nne hapo nyumbani. Nimewaambia kuwa ndio, tunapenda sana kulala juu ya miti na kupika huko huko. Kwahiyo kama wanataka kunitembelea Afrika lazima wajifunze kwanza kupanda juu ya miti. Na kulala pia bila kuanguka!

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com