6/14/2004

mfumo wa elimu wa Tanzania

Ninaondoka asubuhi hii kwenda kuongea na wanafunzi ambao wanaondoka hivi karibuni kuja Afrika. Ninatakiwa kuongea nao juu ya mfumo wa elimu wa Tanzania. Sasa sijui niwaeleze juu ya shule za mbagala na maneromango au niwaeleze juu ya "academy"!

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com