6/13/2004

gongo

Gazeti la The Guardian la Juni 14 linasema kuwa vita dhidi ya pombe ya gongo ni ngumu sana.
Kama Tanzania inashindwa kupambana na biashara ya pombe ya gongo katika jiji la Dar ambako ndio wakuu wa nchi wanaishi, je vita dhidi ya rushwa au umasikini ndio tutaiweza?

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com