6/15/2004

Jamani msinirarue

Naona kuna watu wamenijia juu kweli baada ya kusema kuwa nimewaambia wanafunzi kuwa bado Afrika tunaishi juu ya miti. Shekya naona habari imekukuna sana. HAMTAKI UTANI? Nilikuwa natania. Nilisema kuwa ujumbe wangu siku hizi ni ukombozi wa utumwa wa kimawazo. Kwahiyo siwezi kuendeleza uongo wa kuwa watu weusi Afrika wanaishi kwenye miti. Kucheka ni afya. Nilikuwa natania.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com