6/23/2004

Nimebanwa

Da! Hizi siku mbili tatu huyu mtu mweupe anayekalia hii nchi ya wahindi wa asili (native americans) amenikamata kweli. Unajua tena hii ni nchi ya kodi na bili! Hivyo lazima jasho likutoke. Naona watu wasio na hatia wanaendelea kukatwa vichwa katika aina mpya ya ugaidi.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com