6/25/2004

UNAJUA MANENO HAYA YA KISWAHILI?

Kwa sasa watu wanaweza kuwasiliana kwa kutumia

tarakilishi (computer) iliyoungwa kwenye mtandao (network)

kuweza kuvinjari kwenye mdahalisi (internet) ikiwa tu

wanajua anuani ya baruapepe (e-mail) ya wanaemhitaji.


Baruapepe yaweza kuwa kwenye tovuti (website) ambayo

wewe utahitaji kubofya (to surf) tu ili kuipata.

Teknolojia hii imesitisha matumizi ya kinakilishi (fax)

na pia imeongeza kasi ya upatikanaji wa maarifa ya

ujasiliamali (entrepreneurship knowledge) miongoni mwa wafanyabiashara.

Hivi sasa mchakato (process) wa maendeleo duniani unaanza

kuchukua sura tata(complex)kwani kila mahali panatafuta

asasi(resource! ) yake.

1 Maoni Yako:

At 6/25/2004 12:43:00 PM, Anonymous Anonymous said...

Neno kubofya ndio limenimaliza.

 

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com