8/30/2005

Wanablogu wanaongoza sauti ya upinzani dhidi ya udhalimu Misri

Katika nchi ambayo vyombo vya habari vinamilikiwa na serikali na vile vya binafsi vina mahusiano ya karibu na wakuu wa nchi, wanablogu wanaongoza sauti ya upinzani dhidi ya dikteta Hosni Mubarak wa Misri. Kuna habari hiyo hapa. Na mmoja wa wanablogu hao ni mwanamama huyu.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com