6/29/2005

Mama Claire Short

Hivi sasa ni saa nne kasoro usiku. Nimechoka kutokana na mizunguko ya leo. Tulikwenda kwenye ofisi za BBC Online na baadaye tukafanya mahojiano mazuri mno na mama Claire Short aliyejiuzulu toka serikali ya Blair kutokana na uvamizi dhidi ya Iraki. Kutokana na uchovu, na kutakiwa kuamka mapema mno kesho, sitaweza kuandika aliyosema mama huyu. Kaongea kweli. Kwa kifupi, kasema Tume ya Afrika na ripoti yake ni upuuzi mtupu! Kesho.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com