6/26/2005

Naondoka kwenda kwa Malikia Lizabeti

Kama nilivyoeleza hapo nyuma, ninakwenda kublogu, pamoja na mambo mengine, mkutano wa nchi zinazoitwa "tajiri" kuliko zote duniani kule Uskochi. Nikiweka kituo sentensi ya mwisho hapa ninabeba begi, huyooo...

Kwahiyo ukisikia tena toka kwangu nitakuwa niko kwa Malikia Lizabeti, itakuwa ni siku ya jumatatu. Kwahiyo fuatilia mkutano huo na mambo mengine kama maandamano ya kupinga wezi hao wa mataifa nane, n.k. katika blogu hii. Mpaka tutakapoonana kesho, uhuru daima!

1 Maoni Yako:

At 6/28/2005 01:11:00 AM, Anonymous Anonymous said...

safari na muziki, safari njema.

 

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com