12/16/2004

KONA YANGU AMERUDI....

Mwanablogu toka Bongo wa KONA YANGU, ndugu Mkina, amerudi. Kumbe alikuwa yuko vijijini. Nilipata wasiwasi. Habari yake ya waandishi na vitambi vya sambusa na manyama ya warsha, semina, makongamano, mikutano, nimeipenda maana huu mtazamo wa kuwa kitambi ni afya sijui tumeupata wapi. Kitambi ni mafuta mwilini yaliyojikusanya, yasiyo na kazi, yasiyotumika. Mtembelee hapa kupata vipande vyake.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com