12/14/2004

NENO BUNGE

Kumbe neno "bunge" lilitoka kwa mshairi wa Tanga, Mwinyi Katibu Mohamed Amiri. Huyu bwana alianza ushairi mwaka 1940. Ndiye mtunzi wa shairi la ‘Utenzi wa Uhuru wa Tanganyika’ Na neno 'bunge" linatokana na utunzi wake.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com