1/15/2006

Mtanzania Aanzisha Huduma ya Kublogu Tanzania

Mike Mushi, ambaye ndiye aliyeunda tovuti za Uchaguzi Tanzania na KikweteShein, ameunda tovuti inayotoa huduma kwa wanaotaka kuanzisha blogu zao bure. Bado ninaipitiapitia tovuti hii kuitazama inavyofanya kazi ili niweze kuifanyia marejeo. Bonyeza hapa uitembelee.

1 Maoni Yako:

At 1/16/2006 01:41:00 AM, Blogger FOSEWERD Initiatives said...

Kaka Ndesanjo, tunashukuru kwa updates. hebu irejee kwanza halafu utupe uchambuzi kuhusiana nayo. mapungufu na mazuri.

 

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com