1/14/2006

Edison Hataki Kupitwa na Blogu

Blogu zitatapakaa nchi nzima. Ingawa itachukua muda, hii isituzuie tusianzishe safari hiyo sasa ya wananchi kuwa waandishi. Edison hataki kupitwa na mapinduzi haya ya zana za kupashana habari. Kwa kutumia blogu yake mpya anasema kuwa "saa ya ukombozi ni sasa, tusingoje kesho." Isije ikawa huyu ni Mtikila amejipa jina jipya!
Edison karibu. Bonyeza hapa uende uwanjani kwake.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com