7/04/2005

BLOGU MPYA YA MWANDISHI WA HABARI WA KENYA

Mwandishi wa habari wa Sunday Standard la Kenya, John Kamau, ameingia rasmi kwenye ulimwengu wa blogu. Ni furaha ilioje kuona mwandishi wa habari wa Kenya anafungua njia kwa waandishi wengine nchini humo. Mtembelee Kamau hapa. Kamau hivi sasa yuko hapa Edinburgh.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com