7/03/2005

Mahojiano na Waafrika walioandamana Edinburgh

Katika maandamano yaliyofanyika jana kwa jina la Make Poverty History, kazi kubwa niliyofanya ilikuwa ni kuzunguka huko na huko, kusukumana na kusukumwa, nikitafuta waliko waandamanaji toka Afrika. Kuna jambo ambalo siwezi kuelezea vizuri, nikiona mtu mweusi ambaye katokea Afrika lazima nitamtambua. Hata kama ameishi Ughaibuni kwa miaka nenda rudi, nitajua tu huyu ni Mmatumbi au Mmanyema!
Mahojiano hayo nimeandika kwa ajili ya tovuti maalum ya masuala ya G8 ya Taasisi ya Panos. Kwanza kuna mahojiano na wale waliosafiri toka barani Afrika kwa ajili ya kuandamana, kisha kuna wale ambao wameloea huku Ughaibuni.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com