6/12/2005

UNESCO na Matumizi ya Lugha Mbalimbali Mtandaoni

Ule mkutano wa shirika la umoja wa mataifa la Kielimu, Kisayansi, na Kiutamaduni, UNESCO, African Academy of Languages (ACALAN), Agence Intergouvernementale de la Francophonie, (AIF) na serikali ya Mali kuhusu matumizi ya lugha mbalimbali duniani kwenye mtandao wa kompyuta uliofanyika nchini Mali tarehe 6 na 7 mwezi jana ulifikia maazimio haya. Maazimio haya yanaendana kabisa na vuguvugu tunaloanzisha sisi wanablogu tunaotumia lugha za Kiafrika. Sisi tunaoamini kuwa titi la mama litamu ingawa la mbwa.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com