6/10/2005

SHAIRI LA UASI TOKA KWA MSOMAJI

Carlos Majura ni mshairi, mwanahistoria, na mwanaharakati kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaishi Nyakato, Mwanza. Shairi hili kuhusu uasi dhidi ya mfumo hasi kaandika yeye. Lisome:

Ikipatikana sababu na nafasi,
Kila mmoja huwa ni mwasi,
Pia huwa muasisi,
Katika kupigania salama ya nafsi.

Nafahamu kuwa wewe ni mwasi,
ulieasi kanuni na sheria za kibeberu.
Sasa umeshika kasi katika kuondoa nuksi,

nalaana za ukaburu.

Mimi pia ni mwasi,

ninapambana na mfumo HASI wa utawala.


0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com