6/12/2005

WANABLOGU CHINA WANATAKIWA KUJISAJILI SERIKALINI

Kati ya nchi ambazo watawala wake wanasumbuliwa sana na jinsi teknolojia ya mtandao wa kompyuta inavyotumiwa na wapinga serikali ni Uchina. Sasa nchi hiyo imeamua kuwa wanablogu lazima wasajiliwe, wajulikane ni akina nani, wanaishia wapi, n.k. Fuatilia zaidi habari hiyo hapa. Mwanablogu maarufu wa Uchina, Mao, anahojiwa kuhusu sakata hilo.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com