8/09/2004

MAPINDUZI YA ZANZIBAR

Habari ya huyu bwana anayedai kuwa mapinduzi ya Zanzibar eti ni uhaini na kuwa ubaguzi wa rangi ulianza baada ya mwaka 1964, watu weusi walipotwaa madaraka, kuna watu waliikosa nilipoiweka siku za nyuma. Nenda kwenye hii tovuti usome anachosema huyu bwana aliyeko Uarabuni. Peleka kiteuzi chako hapa kisha kongoli usome changamoto hii.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com