8/07/2004

Abdulrahaman Babu

Miaka minane iliyopita mwezi kama huu, Mohammed Abdulrahaman Babu alitutoka. Tumkumbuke kwa kusoma historia yake fupi kwa kubonyeza HAPA. Na pia kwa wale wenye uwezo wa kukipata kitabu chake, African Socialism or Socialist Africa, tafadhali kipitieni. Kimeandikwa miaka mingi lakini ujumbe wake bado unatufaa hadi leo. Sina uhakika kama kinapatikana katika duka la TPH pale Samora, jijini Dar. Mlioko Dar mnaweza kujaribu.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com