4/24/2005

UVAMIZI WA USIKU

Msomaji wangu wa siku nyingi, Patrick Mwasomola, kaandika dakika chache zilizopita kwenye kitabu cha wageni. Anatukumbusha maneno ya unabii ya Bob Marley katika wimbo wake wa Uvamizi wa Usiku (Ambush In the Night). Hivi ndivyo alivyoandika:

Nimemkumbuka Bob Marley leo anatukumbusha kuwa:
WAMEKUWA WAKITULAGHAI
KWA SPEA PATI, PESA, NA BUNDUKI ZAO...
*****************************************

Katika wimbo huo Bob alikuwa akizungumzia mabepari ambao leo hii tunawaita wawekezaji na wahisani. Kama una rekodi ya Bob kasikilize wimbo huo vizuri.
** Neno jingine la kiswahili la Spea Pati ni Vipuli.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com