4/04/2005

UMEISIKIA SIMPYUTA?

Moja ya tatizo kubwa linalokumba nchi masikini duniani (kutokana na wizi wa viongozi wao na mfumo mbaya wa biashara duniani na uzembe wa wananchi wa nchi hizo wanaochagua watawala wezi) zinazotaka wananchi wake kushiriki kikamilifu katika zama hizi za habari/maarifa ni upatikanaji wa zana za mawasiliano kwa bei nafuu. Wafuatiliaji wa suala hili wanadai kuwa aina mpya ya kompyuta iitwayo Simpyuta (Simputer) inaweza kuwa ni moja ya majawabu mengi ya tatizo hili. Soma hapa na hapa kuhusu simpyuta.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com