3/29/2005

PROFESA MWANAMKE AENDESHA SALA YA KIISLAMU

Profesa Amina Wadud wa chuo kikuu cha Virginia Commoweath amegusa hisia za baadhi ya waislamu baada ya kuendesha sala ya kiislamu ndani ya kanisa na bila kutenganisha wanaume na wanawake. Ulinzi katika chuo hicho umeimairishwa kutokana na vitisho kufuatia sala hiyo. Kosa lake kubwa ni 1. kuendesha sala ya kiislamu kanisani 2. kuendesha sala wakati yeye ni mwanamke 3. kutotenganisha wanawake na wanaume. Soma habari zaidi hapa.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com