4/03/2005

BLOGU MPYA ZA KISWAHILI

Hayawi, hayawi...
Zimekuja blogu nyingine mbili za Kiswahili zinazoandikwa na waandishi wa habari toka kule kunakodaiwa kuwa ndio mji mkuu wa Tanzania (huku wakuu wenyewe wakijishindilia Dasalama). Blogu hizo ni ile ya Ramadhani Msangi inatosema: Mama Yangu, Wamekunywa Hata Uji wa Mgonjwa. Kongoli hapa. Nyingine ni ile ya mwandishi Hudson Kazonta inayosema: Wamekula Mbuzi...Wakaota Mapembe. Kongoli hapa. Iko blogu nyingine ninayoisubiri kwa muda mrefu sana inayokuja toka Australia. Kaa chonjo!

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com