4/24/2005

RUSHWA KATIKA NCHI ZA KIBEPARI

Wengi wetu huamini kuwa rushwa iko katika nchi zinazoitwa changa kama vile Tanzania. Jambo tusilojua ni kuwa rushwa katika nchi za kibepari imejificha sana. Mara chache hutokea watu wakang'amua kama ambavyo imetokea hivi karibuni ambapo mla rushwa katika chama cha Republican anaandamwa kwa mambo yake kuwekwa hadharani. Kila anapojitokeza kukanusha hili, jingine linatoka kesho yake. Sijui ni lini atanyanyua mkono na kukubali. Hebu soma habari hii.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com