1/26/2005

PADRI KARUGENDO NA MAKALA ZAKE

Kutokana na maombi ya wengi kuhusu makala za uchambuzi na falsafa za Padri Karugendo, ambazo hutoka kila alhamisi katika gazeti la RAI (nguvu ya hoja) nchini Tanzania, ninaweka kona maalum kwa ajili ya makala zake. Hivyo mtaanza kumsoma hivi karibuni.

Ninapenda kutangaza kuwa mwezi ujao, ambao ni mwezi wa historia ya watu weusi hapa Marekani, kutakuwa na mfululizo wa mambo mbalimbali ya kukomboa fikra zetu katika kuenzi historia yetu. Afadhali ukose kuja hapa mwaka mzima ila sio mwezi wa pili!


0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com