1/23/2005

RUMI na BENJAMIN

Nilimtaja Rumi kuwa ni kati ya washairi niwapendao mno. Nataka nikupe kipengele toka kwenye mashairi yake (tafsiri ni yangu):
Cheza kama hakuna anayekuona
Penda kama hujawahi kuumizwa roho,
Imba kama vile hakuna atakayekusikia
Fanya kazi kama huna haja na malipo
Ishi kama vile mbinguni ni hapa duniani.

Mshairi mwingine anayeniingia sana nafsini ni Benjamin Zephaniah. Ingia katika tovuti yake.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com