1/30/2005

BLOGU YA SAUTI

Kuanzia sasa nitakuwa ninatumia teknolojia ya blogu ya sauti (audioblog) pamoja na hii ya maandishi. Kwahiyo hata nikiwa safarini, porini, milimani, vijijini, chooni, n.k. naweza kutumia simu ya mkono kuwasiliana nanyi ndugu zangu.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com