1/28/2005

MAKALA MPYA

Nimeweka makala mpya toka kwenye safu yangu ya Gumzo la Wiki katika gazeti la Mwananchi. Makala inaitwa Elimu ni Utumwa? Kama kawaida iko kwenye kona ya makala zangu, upande wa kuume, chini ya picha yangu. Kichwa cha makala hii kilikuwa ni hiki: Elimu ni Ufunguo wa Utegemezi. Nimekibadili kuwa swali: Elimu ni Utumwa? Makala hii ilipaswa kusomwa kama sehemu ya pili ya makala nyingine kuhusu usomi na wasomi. Nimeamua kupeleka mambo kinyume. Nimeanza kukupeni sehemu ya pili kisha niwapeni sehemu ya kwanza!

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com