11/27/2004

MAKALA MPYA: MAMBO YAMEPARAGANYIKA

Nilikuwa natafuta sehemu ya pili ya makala ya Urasta baada ya Azimio Magehema kunikumbusha. Katika tafutatafuta nikakutana na makala ambayo niliiandika miaka mitatu hivi iliyopita. Makala hii itafaa sana kusomwa na Mtanzania aliyeondoka nchini muda mrefu. Hata walioko Tanzania nao itawafaa. Nimeipandisha bila kuipitia kutazama kama kuna mambo yamepitwa na wakati. Wakati huo huo ninaendelea kutafuta sehemu ya pili ya ile ya Urasta. Nenda kwenye kona ya makala zangu kisha bonyeza kwenye makala hii mpya iitwayo: MAMBO YAMEPARAGANYIKA.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com