8/03/2005

Sikiliza Sauti ya Amerika Jumamosi hii

Leo asubuhi nimefanya mahojiano mafupi na Abdulshakur Aboud wa Sauti ya Amerika (Voice of America) kuhusu teknolojia ya blogu. Mahojiano hayo yatarushwa jumamosi katika kipindi cha maswali na majibu. Unaweza kusikiliza kupitia intanet.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com