5/03/2005

PAPA BENEDIKTI: PIGO KWA TEOLOJIA YA UKOMBOZI

Padri Karugendo kaja na makala mbili. Ya kwanza inasema Papa Benedikti: Pigo kwa Teolojia ya Ukombozi. Bonyeza hapa uisome. Nyingine inasema: Mungu Hajakataza Wanawake kuwa Mapadri au Wachungaji. Isome hapa. Makala zake nyingine ziko kwenye kona ya makala zake iitwayo Kalamu ya Karugendo. Iko chini ya makala zangu na za Freddy Macha, upande wa kuume wa blogu hii.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com